Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua rasmi Jengo la Ofisi ya Idara ya Maji, lililopo wilaya ya Pangani, wakati alipoanza ziara yake ya mkoa wa Tanga. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Chiku Galawa & (kushoto) ni Mkurugenzi wa Maji wa wilaya hiyo, Mohamed Hamis. |