![]() |
| Jeneza lenye mwili wa marehemu Kanumba likiwa limebebwa. |
![]() |
| Jeneza lenye mwili wa marehemu Steven Kanumba likiwasili kwenye viwanja vya Leaders Club, jijini Dar es Salaam asubuhi ya leo. |
![]() |
| Mwili wa marehemu Kanumba ukiwa mbele ya maelfu ya watu kwa ajili ya kuagwa rasmi. |
![]() |
| Mheshimiwa Joseph Mbilinyi 'Sugu' akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa marehemu Kanumba. |




