Tuesday, March 13, 2012

BENDI YA MSONDO NGOMA YAENDELEA KUTOA BURUDANI KWA WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM

Msanii mpya wa bendi ya Msondo Ngoma, Shabani Lendi (kushoto) akipuliza saxaphone wakati wa onesho la bendi hiyo iliyofanyika Jumapili katika ukumbi wa Max Bar Ilala Bungoni. Wengine ni Hamisi Mnyupe, Romani Mng'ande na msemaji wa bendi hiyo Rajab Mhamila 'Super D'.

Mashabiki wa Msondo Ngoma wakilisakata rumba.