Friday, April 13, 2012

Balozi Seif Afungua Kikao cha Viongozi wa Serikali, Siasa na Taasisi za Kijamii Juu ya Sensa ya Watu

Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi Tanzania ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Alio Iddi akikifungua kikao cha Sensa kwa wakuu wa Mikoa, Wilaya na Maafisa Tawala wa Zanzibar hapo Jumba la Wananchi Forodhani.

Baadhi ya Wakuu wa Mikoa,Wilaya na Maafisa Tawala wa Zanzibar wakifuatilia Hotuba ya Ufunguzi wa Kikao cha Sensa ya Watu na Makazi iliyotolewa na Mwenyekiti mwenza wa Kamati ya Sensa Kitaifa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi. Kikao hicho kilifanyika hapo katika ukumbi wa Jumba la Wananchi Forodhani Mjini Zanzibar.