Wednesday, April 11, 2012

Maziko Ya Kanumba 'The Great'

Mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba Bi. Flora Mgoa akiuaga mwili wa mwanae kwa mara ya mwisho kabla ya kuzikwa rasmi katika makaburi ya Kinondoni jana Jijini Dar es salaam.

Mwili wa aliyekuwa msanii maarufu wa filamu hapa nchini, Steven Kanumba ukiwa katika sanduku wakati ukiagwa kwenye viwanja vya Leaders' Club, Kinondoni, Dar es Salaam.

Mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba Bi. Flora Mgoa akiuaga mwili wa mwanae kwa mara ya mwisho kabla ya kuzikwa rasmi katika makaburi ya Kinondoni jana Jijini Dar es salaam.