Tuesday, April 10, 2012
Ndege Ya ATCL Yaanguka Kigoma
Abiria 35 na marubani waliokuwa wakisafiri na Ndege ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) wamenusurika kufa baada ya Ndege waliokuwa wakisafiria kuanguka katika Uwanja wa Ndege wa Kigoma.
Newer Post
Older Post
Home