Tuesday, June 26, 2012

Yaliyojiri Kweye Ziara Ya Rais Mohamed Abdelaziz Wa Jamhuri Ya Saharawi

Rais Jakaya Kikwete akimpokea mgeni wake,Rais Mohamed Abdelaziz wa Jamhuri ya Saharawi; Ikulu ya Dar es Salaam, jana terehe 25 Juni, 2012.

Rais JK akitoa hotuba fupi kwa mgeni wake.

Hotuba nzuri mheshimiwa..

Rais Abdelaziz naye akitoa hotuba fupi kwa mwenyeji wake.

Rais Kikwete na mgeni wake wakiangalia brass band ya Jeshi la Polisi.

Picha ya ukumbusho.

JK akimsindikiza mgeni wake.

Rais Abdelaziz akiwaaga wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.

JK akimuaga Rais Mohamed Abdelaziz.